FORM ONE KISWAHILI TERMINAL EXAMS

OFISI YA RAIS TAMISEMI NA TAWALA

ZA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA

KIDATO CHA KWANZA

KISWAHILI 2023- MEI

Muda: 2:30

MAELEZO 

  1.               Mtihani huu una sehemu A, B na C
  2.               Jibu maswali yote. Ikiwa na maswali 6
  3.               Simu za mkononi haziruhusiwi katika chumba cha mtihani

 

SEHEMU A (Alama 30)

  1.               Chagua herufi ya jibu sahihi miongoni mwa majibu kisha andika herufi ya jibu hilo
  1. Asha ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Iringa sauti zake hazina maana anapoziunuma hujumuisha kama?
  1.               Lugha ya maneno
  2.               Lugha ya kiswahili
  3.                Lugha ya Ishara
  4.               Lugha ya mazungumzo
  1. Kila mwandishi huwa na ufundi wake katika utunzi wa kazi za fasihi zake je? Jambo gani ambalo hutofautiana maandishi Janeth na Mwandishi Simba katika  utuzi wa kazi zao


  1.               Mwandiko
  2.               Mtindo
  3.                Muundo
  4.               Lugha


  1. Mwalimu wa somo la kiswahili huwa anatufundisha kando ya daraja letu. Neno lililopigiea mstari ni gani ya maneno aina gani ya maneno?
  1.               Kiunganishi
  2.               Kielezi
  1. Kutokana na wataalamu wa lugha ya kiswahili katika fasihi la neno wanakubaliana kuwa lugha ni sauti za nasibu kwa nini?
  1.               Lugha ni nyenzo ya mawasiliano
  2.               Binadamu huchagua lugha ya kuongea
  3.                Hakuna tofauti kati ya kiwe na kirejelewe
  4.               Majibu yote hayo ni sahihi
  1. Ni utaratibu wa kupanda na kushuka kwa mawimbi ya sauti wakati wa mazungumzaji


  1.               Kiimbo
  2.               Lafidhi
  3.                Mkazo
  4.               Nyimbo


  1. Kaka mkuu wa shule yetu alituelekeza kuwa chura katika ngozi yake ina mabaka mabaka pia hupendwa kuishi majini kuliko nchi kavu. Je hiyo ni hadhithi zinazohusu?


  1.               Visasili
  2.               Vigano
  3.                Ngano
  4.               Tarihi


  1. Ni umbo la ndani la kazi ya fasihi ambalo hueleza Msanii kwa yale yote aliyokusudia katika kazi yake.


  1.               Fani
  2.               Dhamira
  3.                Mtindo
  4.               Maudhui


  1. Dhana gani ya mtu wa kaskazini na nyanda za juu kusini, hudokeza utambulisho wa maneno yanayotoka?
  1.               Sauti
  2.               Lafudhi
  3.                Matamshi
  4.               Silabi
  1. Othuman anaishi tanga. Neno Tanga ni aina gani ya neno?
  2. Neno sikukuu limeundwa na silabi ngapi?


  1.               8
  2.               5
  3.                4
  4.               3


  1. Misamiati iayoingizwa katika kamusi na kukolezwa wino, pia kutoa taarifa ya msamiati hiyo kama vile aina ya neno, asili na namna neno linavyoandikwa.
  1.               Kitomeo
  2.               Kidahiao
  3.                Sampuli
  4.               Kisevo
  1.               Oanishi sentensi zenye matumizi ya vielezi katika Orodha A na aina ya vielezi katika Orodha B. Kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi.

 

Orodha A

Orodha B

  1. Daktari amenishauri ninywe daiwa kutwa mara tano
  2. Mchezaji wa timu yetu alipiga mpira chini
  3. Kaka mfupi amepita polepole
  4. Mimi sijawahi kusherekea mahafali tangu mwaka jana
  1.  Kitenzi cha mujibu
  2.   Kitenzi cha namna
  3.  Kitenzi cha wakati
  4.  Kitenzi cha mahali
  5.   Kitenzi cha idadi

 

SEHEMU B (ALAMA )50

  1.               Panga maneno kama kwenye kamusi na toa maana na tunga sentinsi kwa kila neno.
  1. Ua
  2. Panga
  3. Chizi
  4. Baba
  5. Panda
  1.               Fasihi maana ya misamiati ifuatayo
  1. Maghani
  2. Fanani
  3. Lugha
  4. Sanda
  5. Kamusi
  1.               (a)Ainisha tanzu za fasihi simulizi

(i) _______________   (ii) _______________

(iii) ______________   (iv) _______________

 

(b) Kwa kila tanzu tajwa hapo juu bainisha tanzu hizo za fasihi simulizi, zimejengwa na vipera vipi? Kwa kila tanzu ainisha hoja tano.

SEHEMU C (ALAMA) 20

  1.               (a) Toa maana ya Soga

(b) Jifanye wewe ni kiongozi wa michezo katika shule yenu, umechaguliwa kishiriki mashindano ya utungaji wa hadithi shindano linahusu sungura na fisi yenye maneno thamanini tu (80) Andika soga yenye maneno themanini tu (80) 

 

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 135  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 135  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KISWAHILI KIDATO CHA KWANZA

MUDA: SAA 2:00          2022

 

MAELEKEZO.

  1.                Karatasi hii ina sehemu A, B, C, D na E.
  2.                Jibu maswali yote kama ilivyoelekezwa katika kila sehemu.
  3.                Zingatia mwandiko mzuri, Mpangilio na usahihi wa majibu yako.
  4.                Majibu yote yaandikwe kwenye karatasi za kujibia.

 

SEHEMU A UFAHAMU (Alama 10)

  1.                Soma kifungu cha habari kifuatacho kasha jibu maswali yafuatayo.

Aaah! Maskini ya Rabiee! Hii ndiyo nchi tuliyomo sisi!.  Nchi inayovuja jasho ,nchi masikini, nchi ambayo wanawake huvaa nguo _ _ _ _! Nchi ambayo wanawake huvaa nywele za maiti_ _ _Haya ndiyo maendeleo yetu_ _ _ _.

Haki na usawa katika nchi masikini ni ndoto. Wengi huamua kuwa mabubu mara tu deemokrasia inapopokonywa na watu wachache. Huu ni Unafiki mkubwa.Haki haipo nchini mwetu ila tu tumefumbwa macho, Tumekuwa Vipofu.

Mimi nimeamua kupambana, nitachukua panga_ _ _ nitachukua pinde _ _ _ nitachukua mishale _ _ _ nitapigana kufa na kupona. Nitapigania haki na usawa.Haki! Haki! Usawa Haki! Haki_ _ _ _ maana yake nini.

MASWALI

  1.                 Andika kichwa cha habari hii _______________________________________________
  2.                Je mwandishi analaani juu ya nini? ______________________________________
  3.                 Taja matatizo manne ambayo mwandishi anayakemea
  1.                  _____________________________________________
  2.                _____________________________________________
  3.             _____________________________________________
  4.              _____________________________________________

d) Haki na usawa vitapatikana kwa njia gani? ______________________________

e) Andika maana ya maneno yaliyopigiwa mstari.

  1.                 Inapopokonywa.
  2.                Unafiki.
  3.                 Vipofu.

SEHEMU B (Alama 30)

UTUMIZI WA LUGHA.

  1.                Kwa kutumia mifano toa maana ya maneno yafuatayo.


  1.                 Kidahizo.   
  2.                Kitomeo.   
  3.                 Kamusi.
  4.                Lugha.   
  5.                 Sherehe


 

  1.                (a) Kwa kutumia matumizi ya Kiswahili sanifu, sentensi zifuatazo zina makosa. Ziandikwe upya kwa ufasaha.

                    Kwa mfano

  •                    Kiti mkubwa amevunjika.

                            Usahihi- Kiti kikubwa kimevunjika.

  1.                  Chai imeingia nzi.
  2.                Anakwenda baba kesho safari.
  3.             Humwambiaga lakini haelewi.
  4.              Ng’ombe zangu zimeibiwa.
  5.                Daktari nina kifua sijalala usiku kucha.

(b)  Andika athari tano za kutotumia lugha kwa ufasaha.

  1.                (a)  Taja matumizi Matano (5) ya kamusi.

(b)  Kamusi hugawanyika katika sehemu ngapi? Zitaje.

(c)  Taja mambo mawili yanayopatikana katika utangulizi wa kamusi.

 

SEHEMU C: (Alama 20)

SARUFI

  1.                (a)  Kitenzi kikuu huweza kutumika sambamba na kitenzi kingine kukamilisha sentensi. Kwa kuandika upya sentensi katika karatasi uliyopewa, Bainisha vitenzi vilivyotumika katika sentensi zifuatazo.

                  Mfano

- Amina alikuwa anakula chakula kitamu.

      Ts       T

  1.                  Mgeni wangu amekwisha wasili.
  2.                Amina hakutaka kumuhudhi.
  3.             Mafundi wote wanashona viatu.
  4.              Wataendelea kumsubiri hadi kesho.
  5.                Gari lilikuwa limeharibikia mlimani Kitonga.

(b)   Ainisha maneno yaliyopigiwa mstari katika sentensi zifuatazo.

  1.                  Viti vizuri viwili vimevunjika.
  2.                Ah! alitaka kuja shuleni.
  3.             Wewe ndiye ndugu yangu.
  4.              Wachezaji wote walifanya mazoezi ya viungo.
  5.                Ndizi hizi zimeoza.
  1.                (a)   Tunga sentensi moja kwa kila neno lililoandikwa kwa hati mcharazo.
  1.                  Vizuri kama kiwakilishi.
  2.                Vizuri kama kivumishi.
  3.             Vizuri kama kielezi.
  4.              Mama kama Nomino.
  5.                Mama kama kihisishi.

(b)  Tunga sentensi zenye miundo ifuatayo:-  kwa kupigia mstari sentensi hiyo kuonesha aina hizo 

        za maneno.

             Mfano:    N   +   T + E =

                  Mama anapika jikoni.

        N         T        

  1.                  H + N + T + E
  2.                N + V + V + TS + Ts + T
  3.             W + t + N + V
  4.              W + V + T
  5.                T

SEHEMU D: (Alama 30)

FASIHI    

  1.                (a)  Sanaa ni nini?

(b)  Nakili kisha ukamilishe kielelezo kifuatacho.

 

 

 

 

 

 (a)Fasihi ina dhima/kazi mbalimbali katika jamii. Taja tano (5) na uzieleze kwa ufupi.

(a)   Taja vipengele vitano (5) vinavyounda Fani katika kazi ya fasihi.

(b)   Taja vipengele vitano (5) vinavyounda Maudhui katika kazi ya fasihi.

 

SEHEMU E: (Alama 10)

UTUNGAJI.

10.   Mwandikie barua rafiki yako umweleze kuhusu hali halisi ya masomo ilivyo shuleni kwenu. 

 zingatia taratibu za uandishi wa barua za kirafiki katika uandishi wako.

1

 

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 94  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 94  

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256