MTIHANI WA KUJIPIMA WA MADA

SAYANSI DARASA LA SITA

MYEYUSHO MWENEO

Chagua Jibu sahihi


1. Tendo la mimea kusafirisha maji kutoka kwenye mizizi hadi kwenye majani huitwa:

  1. osmosis
  2. difyusheni
  3. msukumo
  4. mgandamizo
  5. mjongeo
Choose Answer


2. Mchakato wa usafirishaji wa myeyuko wa chumvichumvi katika mimea huitwa.

  1. kusharabu
  2. kufyonza
  3. difyusheni
  4. osmosisi
  5. fotosinthesisi
Choose Answer


3. Chunguza kielelezo Namba 6 kisha jibu swali linalofuata

Sukari iliyowekwa katika bika iko katika hali gani ya maada?

  1. Kimiminika
  2. Gesi
  3. Yabisi
  4. Elementi
  5. Kompaundi
Choose Answer


4. Maada inapatikana katika hali zifuatazo:

  1. Vimiminika, maji na gesi
  2. Yabisi, vimiminika na hewa
  3. Yabisi, vimiminika na gesi
  4. Mawe, yabisi na gesi
  5. Yabisi, hewa na gesi.
Choose Answer



5. Chumvi iliyomwagika kwenye ndoo ya maji inaweza kutenganishwa na maji hayo kwa kutumia njia ipi?

  1. Kuchuja mchanganyiko huo
  2. Kuchuja myeyuko huo
  3. Kuvukiza myeyuko huo
  4. kuchemsha mchangayiko huo
  5. Kuvukiza mchanganyiko huo.
Choose Answer


6. Wakati wa kiangazi mimea hupukutisha majani kwa sababu ya:

  1. kuruhusu majani mapya yaote
  2. kukomaa sana
  3. kuongeza rutuba ardhini
  4. kuruhusu maua yaote
  5. kupunguza upotevu wa maji
Choose Answer


7. Udhaifu wa sayansi upo katika kushindwa kuthibitisha:

  1. uwepo wa jua
  2. dunia kulizunguka jua
  3. baadhi ya imani potofu
  4. matatizo yatokanayo na ushirikina
  5. teknoIojia za kisasa
Choose Answer


8. Mimea hujipatia maji na madini ya chumvi chumvi kwa njia inayowakilishwa na herufi L katika mchoro ufuatao. Njia hiyo ni ipi?

  1. mjongeo wa maji na madini
  2. translokesheni
  3. fototropizimu
  4. Osmosis
  5. fotosinthesis
Choose Answer


9. Diana alichukua kiazi na kukichonga ili kutengeneza shimo katikati, na ndani yake akaweka myeyuko wa chumvi, kisha akakiweka katika bakuli lenye maji kidogo. Baada ya saa nne maji yaliongezeka katika lile shimo lenye chumvi. Je, Diana aligundua nini?

  1. Maji hutoka kwenye myeyuko hafifu kwenda kwenye myeyuko mzito
  2. Mimea hupata maji kwa njia hiyo
  3. Chumvi ni nyepesi kuliko maji
  4. Viazi havipatikani na chumvi E. Hitimisho
Choose Answer


Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256