MTIHANI WA KUJIPIMA WA MADA

SAYANSI DARASA LA NNE

MAJARIBIO YA KISAYANSI

 

Chagua Jibu Sahihi

1. Maelezo au taarifa za uchunguzaji huitwa . . . . . . . .

  1. data
  2. kizio
  3. kipimo
Choose Answer


2.Nini maana ya dhanio katika utafiti wa kisayansi?

  1.  ni wazo tu
  2.  ni utabiri wa matokeo ya kubuni 
  3.  utabiri wa matokeo ya jaribio
  4.  wazo la kina       
Choose Answer



 3.Mojawapo ya hatua za kufuata unapoandaa jaribio la kisayansi ni: 

  1.  uchunguzi    
  2.  udadisi
  3.  utambuzi wa tatizo    
  4.  utatuzi wa tatizo
Choose Answer


4. Hatua ya kwanza ya utafiti wa kisayansi ni 

  1.  kuanza jaribio 
  2. kukusanya data
  3.  kutambua tatizo   
  4.  kuchanganua data
  5.  kutafsiri matokeo
Choose Answer


5. Hatua ya tatu ya utafiti wa kisayansi ni .........

  1. kuchambua data                           
  2. kutafsiri matokeo
  3. kuandaa na kuanza jaribio             
  4. ukusanyaji wa data
  5. kutambua tatizo
Choose Answer


6. Matokeo ya jaribio yanaweza kuwa mojawapo ya yafuatayo:

  1.  Kweli au uongo
  2.  Yaliyochambuliwa au yasiyochambuliwa
  3.  Yenye maswali au yasiyo na maswali
  4.  Ya awali au ya mwisho 
Choose Answer


7. Katika uchunguzi wa kisayansi hatua ipi hutumika kukubali au kukataa dhanio?

  1. Kukusanya data 
  2. Kufanya jaribio
  3. Kuandika hitimisho 
  4. Kudurusu majarida
Choose Answer


 8. Ipi kati ya yafuatayo hutumika kutabiri kuhusu tatizo katika uchunguzi wa kisayansi?

  1. kukusanya data
  2. dhanio
  3. kuchambua data
  4. hitimisho 
  5. kutoa maoni.
Choose Answer



 9. Ni hatua gani muhimu utachukua baada ya kubaini tatizo katika jamii?

  1. Kuanza uchunguzi wa kina 
  2.  Kubuni dhanio
  3.  Kuandaa dodoso 
  4.  Kuandaa majaribio ya kisayansi
  5.  Kukusanya taarifa na data
Choose Answer



 10. Upi ni mpangilio sahihi wa kuandika ripoti ya jaribio la kisayansi?

  1. Lengo, njia, vifaa, matokeo, hitimisho
  2. Vifaa, lengo, njia, matokeo, hitimisho
  3. Njia, lengo, vifaa, hitimisho, matokeo
  4. Lengo, vifaa, njia, matokeo, hitimisho
Choose Answer


Andika NDIYO kwa sentensi sahihi na HAPANA kwa sentensi isiyo sahihi.

  1. Si Wanyama wote wanaohitaji maji ili kuishi……………
  2. View Answer


  3. Mtoto wa darasa la nne anaweza kufanya jaribio akagundua maarifa mapya…………….
  4. View Answer


  5. Mmea ukishapata mwanga hauhitaji joto……………..
  6. View Answer


  7. Maendeleo ya sayansi na teknolojia hutegemea sana majaribio ya kisayansi…………..
  8. View Answer


  9. Lengo la jaribio la kisayansi ni kuepuka kubahatisha jibu la swali……………..
  10. View Answer


  11. Majibu ya kisayansi unaweza kuyapata kwa simulizi…………….
  12. View Answer


  13. Udadisi huibua maswali ya kufanyia majaribio ya kisayansi……………
  14. View Answer


  15. Mimea hupata maji yake kutoka ardhini…………
View Answer


Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256