MTIHANI WA MWISHO WA MADA

MADA: RASILIMALI ZETU

Chagua Jibu Sahihi.


1. Picha iliyopigwa katika uoto wa savanna huonesha ...

  1. misitu minene.
  2. nyasi ndefu.
  3. miti iliyochongoka juu.
  4. miti yenye umbile la mwavuli.
  5. nyasi fupi.
Choose Answer


2. Athari kuu za viwanda katika mazingira ni .....

  1. kuchafua maji, hewa na harufu mbaya.
  2. kutoa moshi na matumizi makubwa ya nguvu ya nishati.
  3. uchafuzi wa hewa, udongo na harufu mbaya.
  4. kumwaga kemikali na kutoa moshi.
  5. uchafuzi wa hewa, maji na ardhi.
Choose Answer


3. Faida ya matumizi mrudio katika utunzaji wa mazingira ni ...

  1. kupanga kazimradi
  2. uzalishaji wa bidhaa mbalimbali.
  3. kupunguza taka
  4. kutengeneza taka
  5. kuuza taka.
Choose Answer


4.Ni aina gani ya madini yaligunduliwa kwa wingi nchini Tanzania mwaka 2007?

  1. Dhahabu
  2. Uraniamu
  3. Almasi
  4. Shaba
  5. Chuma.
Choose Answer


5.Kipi kati ya vifuatavyo ni chanzo kikuu cha maji?

  1. Mito
  2. Maziwa
  3. Mabwawa
  4. Visima
  5. Mvua
Choose Answer


6.Uoto unaoathiri mazingira ya ziwa Victoria ni

  1. nyasi ndefu
  2. vichaka
  3. Mikoko
  4. Miiba
  5. Magugu maji
Choose Answer


7. Nishati gani kati ya zifuatazo inaweza kusababisha uharibifu wa mazingira?

  1. Jua
  2. Upepo
  3. Maji
  4. Mkaa.
  5. Kinyesi cha wanyama
Choose Answer


8. Ufugaji wa kisasa wa wanyama huzingatia nini? ..

  1. Utamaduni wa jamii
  2. Ubora wa wanyama na mazao yao.
  3. Kuwepo kwa ardhi ya kutosha.
  4. Mbuga za asili za kulishia mifugo.
  5. Hali ya hewa.
Choose Answer


9. Kuna makundi mangapi ya uoto wa asili?

  1. Matatu
  2. Manne
  3. Mawili
  4. Matano
  5. Sita
Choose Answer


10. Mbuga Kubwa zaidi ya wanyama Nchini Tanzania ni;

  1. Mikumi
  2. Ngorongoro
  3. Serengeti
  4. Tarangile
Choose Answer


Jibu maswali yafuatayo:

Andikandiyokwa sentensi zilizo sahihi nahapanakwa sentensi zisizo sahihi 22-27.

  1. Madini, milima, maji na ardhi ni mifano ya rasilimali za asili.............
  2. View Answer


  3. Simba, tembo, nyati, nyoka, mbuzi, ng’ombe ni baadhi ya wanyawa wanaoishi mbugani..............
  4. View Answer


  5. Ni muhimu kutunza rasilimali zetu ili zisiharibiwe................
  6. View Answer


  7. Bila vyanzo vya maji hatuwezi kupata maji safi na salama............
  8. View Answer


  9. Serikali ndiyo pekee yenye wajibu wa kulinda rasilimali za Taifa................
  10. View Answer


  11. Mmomonyoko wa udongo ni matokeo ya matumizi yasiyofaa ya rasilimali za ardhi...........
  12. View Answer


Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256