STAGE |
TIME |
TEACHER'S ACTIVITIES |
STUDENT'S ACTIVITIES |
ASSESSMENT |
INTRODUCTION |
10 |
Ongoza wanafunzi mmoja mmoja wasimulie matukio mbalimbali yaliyotokea katika maneno yaowakizingatia lafudhi ya Kiswahili. |
wanafunzi mmoja mmoja wasimulie matukio mbalimbali yaliyotokea katika maneno yaowakizingatia lafudhi ya Kiswahili. |
Mazoezi, maswali na majibu, majaribio, kazi ya vikundi, kazi ya nyumbani, mtihani wa mwezi |
PRESENTATION |
40 |
Ongoza wanafunzi kusoma hadithi mbalimbali |
Mwanafunzi asikilize kwa makini |
Mazoezi, maswali na majibu, majaribio, kazi ya vikundi, kazi ya nyumbani, mtihani wa mwezi |
REFLECTION |
10 |
Ongoza Wanafunzi wasimulie matukiombalimbali kwa kuzingatia lafudhi ya Kiswahili. |
Wanafunzi wasimulie matukiombalimbali kwa kuzingatia lafudhi ya Kiswahili. |
Mazoezi, maswali na majibu, majaribio, kazi ya vikundi, kazi ya nyumbani, mtihani wa mwezi |
REINFORCEMENT |
10 |
Ongoza Wanafunzi wasimulie matukiombalimbali kwa kuzingatia lafudhi ya Kiswahili. |
Kila mwanafunzi ajibu maswali ambayo ameulizwa na mwalimu. Mwanafunzi apate ufafanuzi |
Mazoezi, maswali na majibu, majaribio, kazi ya vikundi, kazi ya nyumbani, mtihani wa mwezi |
CONCLUSION |
10 |
Andika muktasari wa nukuu, simamia wanafunzi wafanye mazoezi |
Mwanafunzi aweze kufanya kazi ya ziada atakayopewa kwa umakini na kuuliza maswali ili kupata jibu |
Mazoezi, maswali na majibu, majaribio, kazi ya vikundi, kazi ya nyumbani, mtihani wa mwezi |