Chagua Darasa Na Somo Unalo Hitaji Kisha Bofya Kitufe Cha Submit Kama Inavyoonekana Kwenye Picha Hapa Chini
HATUA YA TATU
Baada Ya Hatua Ya Pili, Utaenda Katika Ukurasa Wa Kuangalia Muundo Wa Azimo La Kazi, Shuka Hadi Mwisho Wa Kurasa Na Bofya Moja Wapo Ya Link Zilizopo Hapo!
HATUA YA NNE:
Andikisha Taarifa Zako Fupi;
Jina Lako La Kwanza Na Pili
Jina La Shule:
Namba Yako Ya Simu: Kama Inavyoonekana Kwenye Picha Hapa Chini
HATUA YA MWISHO: FANYA MALIPO, EDIT & PAKUA SCHEME YAKO
NAMNA YA KUFANYA MALIPO YA SCHEME YAKO KWA M-PESA
1. Bonyeza *150*00#
2. Chagua 4-Lipa Kwa MPESA
3. Chagua 4- namba ya kamupuni( business number)
4. Ingiza business number 220220
4. Weka kumbukumbu ya malipo(Reference number): Pp
5. Ingiza kiasi sh. 2000
6. Ingiza number ya siri
7. Utapata code from mpesa, mfano, 5FVGHGJ6K
8.Ingiza hiyo confirmation code.
9. Bonyeza complete , Kisha subiri kwa sekunde chache kupelekwa katika page edit( unaweza edit vipindi, tarehe, mwezi, reference, tarehe ya mitihani, n.k)
10. Baada ya ku edit pakua (download scheme yako)
Fuata Mfano Wa Picha Hapa Chini
NAMNA YA KUFANYA MALIPO YA SCHEME YAKO KWA TIGOPESA
1. Bonyeza *150*01#
2. Chagua 4-Lipa Bili
3. Chagua 3- namba ya kamupuni( business number)
4. Ingiza business number 220220
4. Weka kumbukumbu ya malipo(Reference number): Pp
5. Ingiza kiasi sh. 2000
6. Ingiza number ya siri
7. Utapata code from mpesa, mfano,
8.Ingiza hiyo confirmation code.
9. Bonyeza complete , Kisha subiri kwa sekunde chache kupelekwa katika page edit( unaweza edit vipindi, tarehe, mwezi, reference, tarehe ya mitihani, n.k)
10. Baada ya ku edit pakua (download scheme yako)
Fuata Mfano Wa Picha Hapa Chini
Kumbuka: Ukisha fanya malipo, sisi Learning Hub Tanzania tutakupatia recovery code ya scheme yako ndani ya saa 24, itakayo kuwezesha kuipata tena scheme yako na kuifanyia mabadiliko muda wowote kwa mwaka mzima. wasiliana nasi kwa swali, maoni & mapendekezo.
For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256