HELLO YOUR HERE TO VIEW SHAJARA YA URAIA NA MAADILI DARASA LA SABA
Umahiri Mkuu Umahiri Mahususi Kilicho Fundishwa Tar. Ya Kuanza Tar. Ya Kumaliza Maoni Ya Mwl. Maoni Ya Mkuu Wa Idara Maoni Ya Mkuu Wa Shule
1. Kuheshimu jamii1.1 Kujipenda na kuwapenda watu wenginea) Kuchambua vitendo vya kuelimisha jamii kuhusu kutoa misaada ya mahitaji ya watu mbalimbali
1. Kuheshimu jamii1.1 Kujipenda na kuwapenda watu wengineb) Kubainisha vitendo vya kuhudumia na kuwafariji watu wanaokosa mahitaji mbalimbali katika jamii
1. Kuheshimu jamii1 2 Kuipenda na kujivunia shule yake a) Kutofautisha kwa mifano vitendo vya kutoa misaada mbalimbali ya kuleta maendeleo ya shule yake
1. Kuheshimu jamii1.1 Kujipenda na kuwapenda watu wengineb) Kutekeleza mpango wa kazi za kujitolea ili kuleta maendeleo ya shule yake
1. Kuheshimu jamii1.1 Kujipenda na kuwapenda watu wenginec) Kutumia njia na mbinu mbalimbali kuitangaza shule yake kwa watu wengine
1. Kuheshimu jamii1 3 Kuipenda Tanzania kwa kuenzi tunu za nchi na asili yakea) Kubuni vitendo vya kuhamasisha na kudumisha amani katika jamii b) Kufafanua vitendo vinavyo ashiria uhuru na umoja wa Taifa

Fill The Form Below To Download SHAJARA YA URAIA NA MAADILI DARASA LA SABA For T.Sh. 2,000/=

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256