HELLO YOUR HERE TO VIEW SHAJARA YA KISWAHILI DARASA LA SITA
Umahiri Mkuu Umahiri Mahususi Kilicho Fundishwa Tar. Ya Kuanza Tar. Ya Kumaliza Maoni Ya Mwl. Maoni Ya Mkuu Wa Idara Maoni Ya Mkuu Wa Shule
1. Kuwasiliana katika miktadha mbalimbali1.1Kuanzisha na kuendeleza mazungumzo katika miktadha mbalimbalia) Kuimba wimbo wa kizalendo kwa ufasaha (Tazama Ramani). b) Kutaja na Kueleza mawazo makuu yaliyomo katika wimbo wa kizalendo.
1. Kuwasiliana katika miktadha mbalimbali1.1Kuanzisha na kuendeleza mazungumzo katika miktadha mbalimbalic) Kughani shairi kwa kuzingatia kanuni za mashairi (vina, mizani na kituo)
1. Kuwasiliana katika miktadha mbalimbali1.1Kuanzisha na kuendeleza mazungumzo katika miktadha mbalimbalid) Kuigiza igizo dhima kuhusu Elimu ya Manunuzi na kueleza maudhui yake.
1. Kuwasiliana katika miktadha mbalimbali1.1Kuanzisha na kuendeleza mazungumzo katika miktadha mbalimbalie) Kusimulia hadithi yenye methali na kuelezea maana ya mafunzo yaliyopatikana katika methali
1. Kuwasiliana katika miktadha mbalimbali1.1Kuanzisha na kuendeleza mazungumzo katika miktadha mbalimbalif) Kubainisha na kueleza taswira za kimawazo zilizo katika nahau kutoka katika hadithi..
1. Kuwasiliana katika miktadha mbalimbali1.1Kuanzisha na kuendeleza mazungumzo katika miktadha mbalimbalig) Kusimulia mambo yaliyoonekana baada ya kufanya ziara fupi katika mazingira ya jirani na shule.

Fill The Form Below To Download SHAJARA YA KISWAHILI DARASA LA SITA For T.Sh. 2,000/=

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256